Misaada ya Kujifunza
Mashahidi wa Kitabu cha Mormoni


Mashahidi wa Kitabu cha Mormoni

Bwana aliwaamuru wengine licha ya Joseph Smith Nabii kutoa ushuhuda wa utakatifu wa Kitabu cha Mormoni (M&M 17; 128:20). Ona shuhuda za mashahidi hawa katika “Utangulizi” mwanzoni mwa Kitabu cha Mormoni.