Misaada ya Kujifunza
Familia


Familia

Kama linavyotumika katika maandiko, familia ndani yake kuna mume na mke, watoto, na wakati mwingine jamaa wengine wanaoishi katika nyumba moja au chini ya kiongozi mmoja wa familia. Familia pia yaweza kuwa ya mzazi mmoja pamoja na watoto, mume na mke bila watoto, au hata mtu mmoja aishiye peke yake.

Kwa ujumla

Wajibu wa wazazi

Wajibu wa mtoto

Familia ya milele

Mafundisho na Maagano yanaelezea asili ya umilele wa uhusiano wa ndoa na familia. Ndoa ya selestia na uendelezo wa familia unawawezesha waume na wake kuwa miungu (M&M 132:15–20).