Misaada ya Kujifunza
Esau


Esau

Katika Agano la Kale, ni mwana mkubwa wa Isaka na Rebeka na kaka pacha wa Yakobo. Kaka hawa wawili walikuwa wapinzani tangu kuzaliwa kwao (Mwa. 25:19–26). Wazao wa Esau, ni Waedomu, na wazao wa Yakobo ni Waisraeli, wakawa mataifa pinzani (Mwa. 25:23).