Misaada ya Kujifunza
Muziki


Muziki

Tuni na mipigo inayoimbwa na kuchezwa tangu nyakati za mwanzoni za biblia ili kuelezea shangwe, kusifu, na kuabudu (2 Sam. 6:5). Yaweza kuwa katika namna ya sala. Zaburi huenda zilikuwa zikiimbwa kwa tuni rahisi na kuambatanishwa na vyombo.