Misaada ya Kujifunza
Amoni, Mwana wa Mosia


Amoni, Mwana wa Mosia

Katika Kitabu cha Mormoni, ni mwana wa Mfalme Mosia. Amoni aliyefanya kazi kama mmisionari ambaye bidii ya jitihada zake zilisaidia kuziongoa roho nyingi kwa Kristo.