Misaada ya Kujifunza
Mwanadamu wa Tabia ya Asili


Mwanadamu wa Tabia ya Asili

Mtu anayechagua kuongozwa na hisia, tamaa, hamu, na milango ya fahamu ya mwili kuliko kwa miongozo ya Roho Mtakatifu. Mtu wa aina hiyo anaweza kutambua mambo ya kimwili lakini siyo mambo ya kiroho. Watu wote ni wa tamaa za kimwili, au wana miili ile yenye kufa, kwa sababu ya Anguko la Adamu na Hawa. Kila mtu lazima azaliwe tena kwa njia ya Upatanisho wa Yesu Kristo ili kukoma kuwa mtu wa asili.