Bendera ya Uhuru Ona pia Moroni, Kapteni Bendera iliyoinuliwa na Moroni, amiri jeshi mkuu wa majeshi ya Wanefi katika Kitabu cha Mormoni. Moroni aliitengeneza ile bendera ili kuwashawishi watu wa Nefi kulinda dini yao, uhuru, amani na familia zao. Moroni alitengeneza hati ya uhuru kutokana na koti lake lililochanika, Alma 46:12–13. Wale watakaoidumisha ile hati waliingia katika agano, Alma 46:20–22. Moroni alifanya ile hati itundikwe juu ya kila mnara, Alma 46:36 (Alma 51:20).