Misaada ya Kujifunza
Fundisha, Mwalimu


Fundisha, Mwalimu

Kutoa maarifa kwa wengine, hususani juu ya kweli za injili, na kuwaongoza katika uadilifu. Watu wanaofundisha injili yawapasa kuongozwa na Roho. Wazazi wote ni walimu ndani ya familia zao wenyewe. Watakatifu wanapaswa kuomba na kuwa radhi kukubali mafundisho kutoka kwa Bwana na viongozi Wake.

Kufundisha kwa Roho

Chapisha