Misaada ya Kujifunza
Hofu


Hofu

Hofu yaweza kuwa na maana mbili: (1) hofu juu ya Mungu ni kujisikia uchaji na heshima Kwake na kutii amri Zake; (2) kumhofia mtu, hatari za kimwili, maumivu, na uovu ni kuwa na woga na mambo ya jinsi hiyo na kuyaogopa sana.

Hofu juu ya Mungu

Hofu ya mwanadamu