Misaada ya Kujifunza
Kuabudu


Kuabudu

Kumpenda, kumnyenyekea, kumtumikia, na kujitoa kwa Mungu (M&M 20:19). Kuabudu kunajumuisha sala, kufunga, ibada ya kanisani, kushiriki katika ibada za injili, na matendo mengine yanayoonyesha kuabudu na upendo kwa Mungu.