Misaada ya Kujifunza
Mwokozi


Mwokozi

Mtu mwenye kuokoa. Yesu Kristo, kwa njia ya upatanisho Wake, ametoa ukombozi na wokovu kwa wanadamu wote. Yesu Kristo ni Mwokozi wa wanadamu kwa sababu yeye aliwaokoa wote kutoka utumwa wa mauti na wenye kutubu kutokana na adhabu za dhambi. “Mwokozi” ni jina na cheo cha Yesu Kristo.