Misaada ya Kujifunza
Hukumu ya mwisho


Hukumu ya mwisho

Hukumu ya Mwisho ambayo itakuja baada ya Ufufuko. Mungu, kupitia Yesu Kristo, atamhukumu kila mtu ili kuamua utukufu wa milele atakao pokea. Hukumu hii itategemea utiifu wa kila mtu kwa amri za Mungu, ikiwa ni pamoja na kukubali kwake dhabihu ya Yesu Kristo ya kutulipia dhambi.