Misaada ya Kujifunza
Hawa


Hawa

Mwanamke wa kwanza kuishi katika dunia hii (Mwa. 2:21–25; 3:20). Alikuwa mke wa Adamu. Katika Kiebrania jina hili linaamanisha “uhai.” Aliitwa hivyo kwa sababu yeye alikuwa “mama wa wote wenye uhai” (Musa 4:26). Yeye na Adamu, mwanaume wa kwanza, watashiriki kwa pamoja utukufu wa milele kwa ajili ya nafasi yao katika kuwezesha uendeleaje wa milele wa wanadamu wote.