Misaada ya Kujifunza
Mahubiri ya Mlimani


Mahubiri ya Mlimani

Mafundisho yaliyotolewa na Bwana Yesu Kristo kwa wanafunzi Wake ambao walikuwa wanakaribia kutumwa katika misheni (Mt. 5–7; Lk. 6:20–49). Bwana alitoa mahubiri haya muda mfupi baada ya kuitwa kwa Wale Kumi na Wawili.

Mahubiri haya yanafafanuliwa na Tafsiri ya Joseph Smith ya Biblia na kwa mahubiri ya aina hiyo hiyo yaliyoandikwa katika 3 Nefi 12–14, ambayo yanaonyesha kwamba sehemu muhimu ya mahubiri hayo yamepotezwa kutoka katika kumbu kumbu iliyoko katika Mathayo.