Misaada ya Kujifunza
Baraza Kuu


Baraza Kuu

Baraza la makuhani wakuu kumi na wawili.

Katika siku za mwanzoni za urejesho wa Kanisa, neno baraza kuu lilitumika kwa makundi mawili tofauti ya utawala: (1) Akidi ya Mitume Kumi na Wawili wa Kanisa (M&M 107:33, 38) na (2) baraza kuu lenye kuhudumu ndani ya kila kigingi (M&M 102; 107:36).