Misaada ya Kujifunza
Wana na Mabinti za Mungu


Wana na Mabinti za Mungu

Maandiko hutumia maneno haya katika njia mbili. Katika maana moja, sisi wote ni watoto halisi wa kiroho wa Baba wa Mbinguni. Katika maana nyingine, wana na mabinti za Mungu ni wale waliozaliwa tena kwa njia ya Upatanisho wa Kristo.

Watoto wa kiroho wa Baba

Watoto waliozaliwa tena kupitia Upatanisho