Misaada ya Kujifunza
Umba, Uumbaji


Umba, Uumbaji

Kupanga. Mungu, akifanya kazi kupitia Mwanawe, Yesu Kristo, alipanga vitu vya asilia katika asili yake ili kutengeneza mbingu na dunia. Baba wa Mbinguni na Yesu Kristo walimuumba mwanadamu katika mfano Wao (Musa 2:26–27).