Misaada ya Kujifunza
Mtoto, Watoto


Mtoto, Watoto

Mtu aliye mdogo, ambaye bado hajafikia balehe. Akina baba na akina mama wawafundishe watoto wao kutii mapenzi ya Mungu. Watoto hawana dhambi hadi wafikiapo umri wa uwajibikaji (Moro. 8:22; M&M 68:27).