Misaada ya Kujifunza
Muleki


Muleki

Mwana wa mfalme Zedekia wa Agano la Kale (karibia mwaka 589 K.K.). Biblia inaandikwa kwamba wana wote wa Zedekia waliuawa (2 Fal. 25:7), lakini Kitabu cha Mormoni kinaelezea kwamba Muleki alipona (Hel. 8:21).