Misaada ya Kujifunza
Shemu


Shemu

Katika Agano la Kale, ni mwana mwadilifu wa Nuhu na, kulingana na desturi, ni mhenga wa Washemiti, au Semiti, pamoja na Waarabu, Waebrania, Wababilonia, Waashuri, Wafoenike, na Waashuru (Mwa. 5:29–32; 6:10; 7:13; 9:26; 10:21–32; Musa 8:12). Katika ufunuo wa siku za mwisho Shemu anaelezwa kama “yule kuhani mkuu sana” (M&M 138:41).