Misaada ya Kujifunza
Wito na Uteuzi


Wito na Uteuzi

Wafuasi wa Kristo wenye haki wanaweza kuhesabiwa miongoni mwa wateule ambao hupata uhakika wa kuinuliwa. Wito wa uteuzi huu huanza katika toba na ubatizo. Unakamilika pale “wanaposonga mbele, wakisherehekea juu ya neno la Kristo, na wakistahmili hadi mwisho” (2 Ne. 31:19–20). Maandiko huita utaratibu huu kama ni kufanya wito na uteuzi wetu kuwa imara zaidi (2 Pet. 1:4–11; M&M 131:5–6).