Misaada ya Kujifunza
Tamaa za kimwili


Tamaa za kimwili

Kitu fulani kisicho cha kiroho; hasa neno hili laweza kutumika kumaanisha ama yenye kuharibika na ya kimwili (M&M 67:10) au ya kiulimwengu, ya kimwili, na kupenda anasa (Mos. 16:10–12).