Misaada ya Kujifunza
Kitabu cha Ukumbusho


Kitabu cha Ukumbusho

Kitabu kilichoanzishwa na Adamu ambamo ndani yake mliandikwa kumbukumbu za kazi za wazao wake; pia kumbukumbu ya aina hiyo hiyo ilitunzwa na manabii na waumini walio waaminifu kutoka wakati huo. Adamu na watoto wake walitunza kitabu cha ukumbusho, ambamo ndani yake waliandika kwa kuongozwa na roho, na kitabu cha vizazi, ambacho kilikuwa na nasaba (Musa 6:5, 8). Kumbukumbu ya namna hiyo yaweza kuwa na sehemu katika kuamua hukumu yetu ya mwisho.