Misaada ya Kujifunza
Kanisa, Ishara za Kanisa la Kweli


Kanisa, Ishara za Kanisa la Kweli

Mafundisho na matendo ya Kanisa ambayo yanaonyesha kuwa limekubaliwa na Mungu na ni njia ambayo Bwana ameiweka kwa ajili ya watoto Wake kupata utimilifu wa baraka Zake. Baadhi ya ishara za Kanisa la kweli ni kama zifuatazo:

Ufahamu sahihi wa Uungu

Kanuni na ibada za Kwanza

Ufunuo

Manabii

Mamlaka

Maandiko nyongeza ya yatakuja

Muundo wa Kanisa

Kazi ya Umisionari

Vipawa vya Kiroho

Mahekalu