Misaada ya Kujifunza
Wanyangʼanyi wa Gadiantoni


Wanyangʼanyi wa Gadiantoni

Katika Kitabu cha Mormoni, ni kundi la wanyangʼanyi lililoundwa na Mnefi mwovu aliyeitwa Gadiantoni. Shirikisho lao lilijengwa juu ya usiri na viapo vya kishetani.