Misaada ya Kujifunza
Zaliwa


Zaliwa

Kuzaliwa. Kuzaa ni kujifungua, kuumba kwa kuzaa, au kuleta katika uhai. Katika maandiko, maneno haya mara kwa mara yanatumika ili kumaanisha kuzaliwa na Mungu. Ingawa Yesu Kristo ni mtoto pekee wa kuzaa wa Mungu katika mwili wa kuharibika, watu wote waweza kuwa wazaliwa kiroho wa Kristo kwa kumkubali Yeye, kwa kutii amri Zake, na kwa kuwa watu wapya kwa njia ya uwezo wa Roho Mtakatifu.