Misaada ya Kujifunza
Amani


Amani

Katika maandiko, amani yaweza kumaanisha uhuru kutokana na kutokuwepo ugomvi na misukosuko au utulivu na faraja ya ndani inayoletwa na Roho Mtakatifu ambayo Mungu huwapa Watakatifu Wake walio waaminifu.

Uhuru kutokana na ugomvi na misukosuko

Amani kutoka kwa Mungu kwa watiifu