Misaada ya Kujifunza
Waamaleki (Agano la Kale)


Waamaleki (Agano la Kale)

Kabila la Waarabu ambao waliishi katika jangwa la Parani kati ya Araba na Meditarania. Daima walikuwa vitani na Waebrania kutoka wakati wa Musa (Ku. 17:8) hadi wakati wa Sauli na Daudi (1 Sam. 15; 27:8; 30; 2 Sam. 8:11–12).