Misaada ya Kujifunza
Uwezo


Uwezo

Kuweza kufanya jambo fulani. Kuwa na uwezo juu ya mtu fulani au kitu fulani ni kuweza kudhibiti au kumwamuru mtu huyo au jambo hilo. Katika maandiko, uwezo daima unaunganishwa na nguvu za Mungu au nguvu za mbingu. Mara kwa mara huhusishwa kwa karibu na mamlaka ya ukuhani, ambayo ni ruhusa au haki ya kutenda jambo kwa niaba ya Mungu.