Misaada ya Kujifunza
Wanefi


Wanefi

Kikundi cha watu katika Kitabu cha Mormoni, wengi wao wakiwa ni wazao wa nabii Nefi, mwana wa Lehi. Walijitenga na Walamani na kwa ujumla walikuwa waadilifu zaidi kuliko Walamani. Hata hivyo, mwishowe waliangamizwa na Walamani kwa sababu ya uovu.