Utakatifu Ona pia Safi na Isiyo safi; Takatifu; Utakaso Ukamilifu wa kiroho na kimwili. Utakatifu huonyesha usafi wa moyo na dhamiri ya mtu. Waumini wataonyesha kuwa wenye kustahili katika Kanisa kwa kutembea katika utakatifu mbele za Bwana, M&M 20:69. Nyumba ya Bwana ni mahali pa utakatifu, M&M 109:13. Mtu wa utakatifu ni mojawapo ya majina ya Mungu, Musa 6:57 (Musa 7:35).