Misaada ya Kujifunza
Mavuno


Mavuno

Maandiko wakati mwingine hutumia neno mavuno kama ishara ili kumaanisha kuwaleta watu katika Kanisa, ambalo ndilo ufalme wa Mungu duniani, au kwa wakati wa hukumu, kama vile Ujio wa Pili wa Yesu Kristo.