Misaada ya Kujifunza
Kiebrania


Kiebrania

Lugha ya Kisemiti iliyozungumzwa na wana wa Israeli.

Kiebrania kilikuwa kikizungumzwa na Waisraeli hadi kurudi kwao kutoka utumwa wa Babilonia, wakati ambapo Kiaramai kilikuja kuwa lugha ya mazungumzo ya kila siku. Wakati wa Yesu, Kiebrania kilikuwa ni lugha ya wasomi, ya sheria, na ya maandiko ya kidini.