Misaada ya Kujifunza
Mwili


Mwili

Mwili wenye kufa, umbile la mwili, wa nyama na mifupa liliumbwa katika mfano wa Mungu ambalo limeunganishwa pamoja na roho ili kufanya mtu aliye hai. Miili halisi ya wanaume na wanawake wote itaunganishwa tena milele pamoja na roho zao katika Ufufuko. Maandiko wakati mwingine huielezea mwili na roho zilizoungana pamoja kama nafsi (Mwa. 2:7; M&M 88:15; Musa 3:7, 9, 19; Ibr. 5:7).