Muziki
Niongoze Nije Kwako


4

Niongoze Nije Kwako

Kwa heshima

1. Niongoze nije kwako

Kwa wito wa injili.

Nipe nguvu zako, Mungu,

Nitimize ahadi.

2. Baba, ninajitolea,

Nitakutumikia.

Bado ningali mnyonge,

Nipe wako mwangaza.

3. Niombapo nisikie.

Nipe nguvu daima.

Niwe na imani kwako;

Unibariki Baba.

Maandishi: John A. Widtsoe, 1872–1952. © 1948 IRI

Muziki: Alexander Schreiner, 1901–1987. © 1948 IRI

Zaburi 143:10

Mafundisho na Maagano 42:61