Muziki
Mungu Awe Nanyi Daima


82

Mungu Awe Nanyi Daima

Kwa unyenyekevu

1. Mungu awe nanyi daima,

Kwa nasaha muongozwe,

Mbaki zizini mwake.

Mungu awe nanyi daima.

[Chorus]

Hadi tuonane tena,

Miguuni pa Bwana.

Hadi tuonane tena.

Mungu awe nanyi daima.

2. Mungu awe nanyi daima;

Shida zinapowazonga,

Awaoneshe huruma.

Mungu awe nanyi daima.

[Chorus]

Hadi tuonane tena,

Miguuni pa Bwana.

Hadi tuonane tena.

Mungu awe nanyi daima.

3. Mungu awe nanyi daima;

Nguvu ya upendo wake,

Imeshinda mambo yote.

Mungu awe nanyi daima.

[Chorus]

Hadi tuonane tena,

Miguuni pa Bwana.

Hadi tuonane tena.

Mungu awe nanyi daima.

Maandishi: Jeremiah E. Rankin, 1828–1904

Muziki: William G. Tomer, 1833–1896

2 Wathesalonike 3:16

Hesabu 6:24–26