102
Iwe Upendavyo, Baba
Kwa kutafakari
1. Alipokuwa mbinguni
Bwana aliteuliwa
Kuokoa wenye dhambi;
“Iwe upendavyo, Baba.”
2. Mtawala na Mfalme
Mnyenyekevu akawa,
Wakati na hali zote;
“Iwe upendavyo, Baba.”
3. Si miiba, si kejeli
Kristo zingemzuia.
Hakujali yake nafsi;
“Iwe upendavyo, Baba.”
4. Mkate nacho kikombe,
Ni kumbukumbu ya Bwana.
Tuombe nguvu tuseme,
“Iwe upendavyo, Baba.”
Maandishi: Frank I. Kooyman, 1880–1963. © 1948 IRI
Muziki: Robert P. Manookin, 1918–1997. © 1985 IRI
Luka 22:41–44