Maandiko Matakatifu
Mafundisho na Maagano 120


Sehemu ya 120

Ufunuo uliotolewa kupitia Joseph Smith Nabii, huko Far West, Missouri, 8 Julai 1838, ambao unajulisha juu ya utoaji wa mali zilizotolewa kama zaka kama ilivyotajwa katika ufunuo uliotangulia, sehemu ya 119.

1 Amini, hivyo ndivyo asemavyo Bwana, wakati sasa umefika, ambao aitatolewa na baraza, linaloundwa na Urais wa Kwanza wa Kanisa langu, na askofu na baraza lake, na baraza langu kuu; na kwa sauti yangu mwenyewe kwao, asema Bwana. Hivyo ndivyo. Amina.

      • MY zaka.