Sehemu ya 116
Ufunuo uliotolewa kwa Joseph Smith Nabii, karibu na Kivuko cha Wight, mahali paitwapo Spring Hill, Wilaya ya Daviess, Missouri, 19 Mei 1838.
1 Spring Hill Bwana alipaita aAdamu-ondi-Amani, kwa sababu, alisema, ndipo mahali ambapo bAdamu atakuja kuwatembelea watu wake, au cMzee wa Siku atakapokaa, kama ilivyonenwa na Danieli nabii.