Rafiki
Kuwa wa Kanisa la Yesu Kristo
Ubatizo na Uthibitisho


“Kuwa wa Kanisa la Yesu Kristo,” Rafiki, Julai 2023, 27.

Kuwa wa Kanisa la Yesu Kristo

Picha
alt text here

Wakati unapobatizwa na kuthibitishwa, unakuwa muumini wa Kanisa la Yesu Kristo. Yesu aliliita Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa Siku za Mwisho (ona Mafundisho na Maagano 115:4).