“Ninaweza Kumfuata Yesu kwa Kusoma Maandiko,” Rafiki, Jan. 2023, 44–45.
Ninaweza Kumfuata Yesu kwa Kusoma Maandiko
Ysu alituambia tusome maandiko.
Picha
alt text
Japokuwa mimi ni mdogo, ninaweza kujifunza kutoka kwenye maandiko!
Picha
alt text
Ninaposikiliza, ninaweza kujifunza jinsi ya kuwa kama Yesu Kristo.
Picha
alt text
Maandiko ni kwa ajili ya kila mtu!
Wakati wa Shughuli
Picha
alt text
Msaidie Nefi na familia yake wavuke bahari ili wafike nchi ya ahadi. Ni ipi hadithi yako pendwa kutoka kwenye maandiko?