Misaada ya Kujifunza
TJS, Waebrania 4


TJS, Waebrania 4:3. Linganisha na Waebrania 4:3

Wale wanao shupaza mioyo yao hawataokolewa; wale wanaotubu wataingia katika pumziko la Bwana.

3 Maana sisi tulioamini tunaingia katika raha ile, kama vile alivyosema, Kama nilivyoapa kwa ghadhabu yangu, Kama wataishupaza mioyo yao hawataingia rahani mwangu; pia, nimeapa, Kama hawataishupaza mioyo yao, wataingia rahani mwangu; ijapokuwa kazi za Mungu zilitengenezwa, (au kumalizika,) tangu kuwekwa kwa misingi ya ulimwengu.