Misaada ya Kujifunza
TJS, 1 Wathesalonike 4


TJS, 1 Wathesalonike 4:15. Linganisha na 1 Wathesalonike 4:15

Wale watu wenye haki walio hai wakati wa kuja kwa Bwana hawatakuwa na nafasi zaidi ya wafu wenye haki.

15 Kwa kuwa twakuambieni haya kwa neno la Bwana, kwamba wale walio hai wakati wa kuja kwa Bwana, hawatawatangulia wale waliokwisha kulala wakati wa kuja kwa Bwana.