1Alikuja kwetu,alitupenda sana Hakuna
nafsi asiyowe za gusa;
Maisha ya giza,asiyo angaza.
Huzuni majonzi asiyoondoa.
Njoo,njoo Kwake.
Njoo Kwake jifunze kwake.
Mpole mnyenyekevu
mwenye huruma
Njoo,njoo Kwake.
2Kaja duniani kama mwanadamu.
Hakuna hitaji asilolielewa,
Wala maumivu asiyoyajua;
Si nja maumivu,haweziponya.
Njoo,njoo Kwake.
Njoo Kwake jifunze kwake.
Mpole mnyenyekevu
mwenye huruma.
Njoo,njoo Kwake.
3Alipitia huzuni kama sisi;
Kwawaaminio Hutoa msaada Hufungua macho,
Huwasamehe Wanyenyekevu waaminifu,
wamfuatao Njoo,
njoo Kwake.
Njoo Kwake jifunze kwake.
Mpole mnyenyekevu
mwenye huruma.
Njoo,njoo kwake.
Ee, njoo,njoo Kwake.
Maneno na Steven K. Jones
Muziki na Michael F. Moody
© 2016 na Steven K. Jones na Michael F. Moody. Haki zote zimehifadhiwa Wimbo huu unaweza kunakiliwa kwa ajili ya mahitaji, yasiyo ya kibiashara ya matumizi kanisani ama nyumbani.