Maandiko Matakatifu

Lulu ya Thamani Kuu

  • Yaliyomo

  • Ukurasa wa Jina

  • Utangulizi

  • Musa

  • Ibrahimu

    • Yaliyomo

    • Ibrahimu 1

    • Ibrahimu 2

    • Ibrahimu 3

    • Ibrahimu 4

    • Ibrahimu 5

    • Nakala halisi ya mwandiko

      • Nakala Halisi 1

      • Nakala Halisi 2

      • Nakala Halisi 3

  • Joseph Smith—Mathayo

  • Joseph Smith—Historia ya

  • Makala ya Imani

Ibrahimu


  • Mlango wa 1

    Ibrahimu ataka baraka za mpango wa kipatriaki—Anateswa na makuhani wa uongo katika Ukaldayo—Yehova anamwokoa—Asili ya Misri na utawala wake vinapitiwa upya.


  • Mlango wa 2

    Ibrahimu aondoka Uru kwenda Kanaani—Yehova amtokea huko Harani—Baraka zote za injili zimeahidiwa kwa uzao wake na kupitia uzao wake kwenda kwa wote—Anakwenda Kanaani na kuendelea hadi Misri.


  • Mlango wa 3

    Ibrahimu ajifunza juu ya jua, mwezi, na nyota kwa njia ya Urimu na Thumimu—Bwana anamfunulia asili ya umilele wa roho—Anajifunza juu ya maisha kabla, kuteuliwa kabla, Uumbaji, kuteuliwa kwa Mkombozi, na hali ya pili ya mwanadamu.


  • Mlango wa 4

    Miungu wanapanga uumbaji wa dunia na uhai wote juu yake—Mipango yao ya uumbaji kwa siku sita yaelezwa.


  • Mlango wa 5

    Miungu wanamaliza mipango Yao ya uumbaji wa vitu vyote—Wanatimiza Uumbaji kulingana na mipango Yao—Adamu atoa majina kwa kila kiumbe hai.


  • Nakala Halisi 1


  • Nakala Halisi 2


  • Nakala Halisi 3