11. Nchi Takatifu Nyakati za Agano Jipya
Kask.
Ufunguo
Mipaka ya Kisiasa
Sidoni
Abilene
Sarepta
Milima ya Lebanoni
Dameski
Litani
Shamu
Mlima Hermoni
Farpa
Tiro
Foenike
Kaisaria Filipi
Bonde la Hule
Galilaya
Ptolemo (Ako)
Korazini
Bethsaida
Kapernaumu
Kishoni
Kana
Magdala
Bahari ya Galilaya (Kinerethi)
Mlima Karmeli
Nazarethi
Tiberia
Mlima Tabori
Yarmuki
Naini
Gadara
Kaisaria
Mlima Gilboa
Dekapoli
Samaria
Salimu?
Samaria
Aenoni?
Uwanda wa Sharoni
Sikari
Mlima Ebali
Yaboki
Yafa
Mlima Gerizimu
Arimathaya?
Aiyaloni
Betheli
Mto Yordani
Peraya
Filadelfia
Yeriko
Bahari Kuu (Bahari ya Mediterania)
Azoto
Soreki
Emau
Bethabara
Yerusalemu
Mlima wa Mizeituni
Bethfage
Bethania
Kumrani
Nyanda za Moabu
Mlima Nebo
Askaloni
Ela
Bethlehemu
Uyahudi
Gaza
Hebroni
Makero
Gerari
Idumaya
Bahari ya Chumvi
Arnoni
Besori
Beer-sheba
Masada
Nyika za Uyahudi
Nabateya
Zeredi
Kilomita
0 20 40 60
A B C D
1 2 3 4 5 6 7 8
1
1
2
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
-
Tiro na Sidoni Yesu alilinganisha Korazini na Bethsaida kwa Tiro na Sidoni (Mt. 11:20–22). Alimponya binti wa mwanamke Myunani (Mt. 15:21–28).
-
Mlima wa Kugeuka Sura Yesu aligeuka sura mbele ya Petro, Yakobo, na Yohana, na wakapokea funguo za ufalme (Mt. 17:1–13). (Wengine wanaamini Mlima wa Kugeuka sura ni Mlima Hermoni, wengine wanaamini ulikuwa Mlima Tabori.)
-
Kaisaria Filipi Petro alitoa ushuhuda ya kuwa Yesu ndiye Kristo na aliahidiwa funguo za ufalme (Mt. 16:13–20). Yesu alitabiri kifo Chake mwenyewe na ufufuko Wake (Mt. 16:21–28).
-
Eneo la Galilaya Yesu alitumia sehemu kubwa ya maisha Yake na huduma Yakekatika Galilaya (Mt. 4:23–25). Hapa alitoa Mahubiri ya Mlimani (Mt. 5–7); alimponya mkoma (Mt. 8:1–4); na alichagua na kutawaza na kuwatuma Mitume Kumi na Wawili, ambao wote isipokuwa mmoja tu Yuda Iskarioti ndiye hakuwa Mgalilaya (Mk. 3:13–19). Katika Galilaya Kristo mfufuka aliwatokea Mitume (Mt. 28:16–20).
-
Bahari ya Galilaya, baadaye iliitwa Bahari ya Tiberia Yesu alifundisha kutoka katika mashua ya Petro (Lk. 5:1–3) na akawaita Petro, Andrea, Yakobo, na Yohana kuwa wavuvi wa watu (Mt. 4:18–22; Lk. 5:1–11). Pia aliinyamazisha dhoruba (Lk. 8:22–25), alifundisha kwa mifano kwenye mashua (Mt. 13), alitembea juu ya bahari (Mt. 14:22–32), na akawatokea wanafunzi Wake baada ya ufufuko Wake (Yn. 21).
-
Bethsaida Petro, Andrea, na Filipo walizaliwa katika Bethsaida (Yn. 1:44). Yesu alienda zake kwa siri pamoja na Mitume karibu na Bethsaida. Makutano wakamfuata, naye akawalisha watu 5,000 (Lk. 9:10–17; Yn. 6:1–14). Hapa Yesu alimponya mtu aliyekuwa kipofu (Mk. 8:22–26).
-
Kapernaumu Hapa palikuwa ndiyo nyumbani kwa Petro (Mt. 8:5, 14). Katika Kapernaumu ambako Mathayo alipaita “mji wake” Yesu. Yesu alimponya mtu aliyepooza (Mt. 9:1–7; Mk. 2:1–12), alimponya mtumishi wa akida na alimponya mama wa mkwe wa Petro (Mt. 8:5–15), alimwita Mathayo kuwa mmoja wa Mitume Wake (Mt. 9:9), alifungua macho yaliyopofuka, alimfukuza ibilisi (Mt. 9:27–33), aliponyesha mkono wa mtu ulionyauka katika siku ya sabato (Mt. 12:9–13), alitoa mahubiri ya mkate wa uzima (Yn. 6:22–65), alikubali kulipa kodi, akimwambia Petro kupata fedha hiyo kutoka kinywa cha samaki (Mt. 17:24–27).
-
Magdala Hapa palikuwa nyumbani kwa Maria Magdalena (Mk. 16:9). Yesu alikuja hapa baada ya kuwalisha watu 4000 (Mt. 15:32–39), na Mafarisayo na Masadukayo walimwuliza kwamba Awaonyesheishara kutoka mbinguni (Mt. 16:1–4).
-
Kana Yesu aligeuza maji kuwa divai (Yn. 2:1–11) na alimponya mwana wa mtu maarufu ambaye alikuwa Kapernaumu (Yn. 4:46–54). Kana pia palikuwa nyumbani kwa Nathanieli (Yn. 21:2).
-
Nazarethi Kupashwa habari kwa Maria na Yusufu kulifanyika katika Nazarethi (Mt. 1:18–25; Lk. 1:26–38; 2:4–5). Baada ya kurudi kutoka Misri, Yesu alitumia utoto Wake na ujana Wakehapa (Mt. 2:19–23; Lk. 2:51–52), alitangaza ukweli wa kuwa Yu Mwana wa Mungu na alikataliwa na walio mwenyewe Wake (Lk. 4:14–32).
-
Yeriko Yesu alimpa kuona mtu aliyekuwa kipofu (Lk. 18:35–43). Pia alikula pamoja na Zakayo, “mkubwa mmoja miongoni mwa watoza ushuru” (Lk. 19:1–10).
-
Bethabara Yohana Mbatizaji alishuhudia ya kwamba yeye alikuwa “sauti ya mtu aliye nyikani” (Yn. 1:19–28). Yohana alimbatiza Yesu katika Mto Yordani na akashuhudia ya kuwa Yesu ndiye Mwanakondoo wa Mungu (Yn. 1:28–34).
-
Nyika za Uyahudi Yohana Mbatizaji alihubiri katika nyika hizi (Mt. 3:1–4) mahali Yesu alipofunga kwa siku 40 na kujaribiwa (Mt. 4:1–11).
-
Emau Kristo mfufuka alitembea kwenye barabara ya kwenda Emau pamoja na wanafunzi Wakewawili (Lk. 24:13–32).
-
Bethfage Wanafunzi wawili walimletea Yesu punda ambaye alimpandana kuanza kuingia Kwake kwa shangwe katika Yerusalemu (Mt. 21:1–11).
-
Bethania Hapa palikuwa nyumbani kwao Mariamu, Martha, na Lazaro (Yn. 11:1). Mariamu alisikia maneno ya Yesu, na Yesu alimwambia Martha juu ya kuchagua “fungu lililo jema” (Lk. 10:38–42); Yesu alimfufua Lazaro kutoka kwa wafu (Yn. 11:1–44); Mariamu alipaka mafuta miguu ya Yesu (Mt. 26:6–13; Yn. 12:1–8).
-
Bethlehemu Yesu alizaliwa na alilazwa horini (Lk. 2:1–7); malaika walitangaza kwa wachungaji juu ya kuzaliwa kwa Yesu (Lk. 2:8–20); mamajusi waliongozwa na nyota kwenda kwa Yesu (Mt. 2:1–12), na Herode aliwaua watoto (Mt. 2:16–18).