2022
Ahadi za Ezekieli Zinatimia
Oktoba 2022


“Ahadi za Ezekieli Zinatimia,” Jumbe za kila Mwezi za gazeti la Rafiki, Oktoba 2022

Ahadi za Ezekieli Zinatimia

Ujumbe wa Kila mwezi wa gazeti la Rafiki, Oktoba 2022

Ahadi za Ezekieli Zinatimia

Picha
Maneno ya Ezekieli

Vielelezo na Apryl Stott

Ezekieli alikuwa nabii. Mungu alimwonyesha mambo mengi ya siku zijazo ambayo yalikuwa bado hayajatokea. Ezekieli aliyaandika.

Picha
Biblia na Kitabu cha Mormoni

Ezekieli aliandika kuhusu vitabu viwili ambavyo vingepigwa chapa siku za baadaye. Kitabu kimoja kilikuwa Biblia. Kitabu kingine kilikuwa Kitabu cha Mormoni.

Picha
kupiga chapa Biblia kwenye mtambo wa kupiga chapa

Miaka mingi baadaye, Biblia ilichapishwa.

Picha
Joseph Smith akitafsiri Kitabu cha Mormoni pamoja na Emma akiwa kama mwandishi.

Baada ya miaka mingi zaidi, Joseph Smith alitafsiri Kitabu cha Mormoni. Ono la Ezekieli lilitimia!

Picha
Yesu Kristo

Leo tunaweza kusoma kwenye Biblia na Kitabu cha Mormoni. Vitabu hivi vinafanya kazi pamoja kufundisha kuhusu Yesu Kristo.

Picha
familia ikisoma maandiko

Ninaposoma maandiko, ninajifunza kuhusu Yesu Kristo

Ukurasa wa Kupaka Rangi

Ninaweza kusoma maandiko

Picha
watoto na walimu katika darasa la Msingi

Bofya kwenye picha ili kupakua.

Kielelezo na Apryl Stott

Ni hadithi gani ya maandiko unayoipenda sana?